Joyce Msuya


Amezaliwa 2 Januari 1968
Dar es Salaam
Nchi Tanzania
Kazi yake Mtaalamu wa mazingira


Joyce Msuya (alizaliwa Dar es Salaam, 2 Januari 1968) ni mwanabiolojia na mtaalamu wa mazingira kutoka Tanzania, aliyekuwa Katibu Mkuu Msaidizi wa UM kwa Shughuli ya Hisani na mratibu msaidizi wa miradi ya misaada ya hisani ya Umoja wa Mataifa.[1].

Hadi kuteuliwa kwa kazi hiyo Desemba 2021 alikuwa Kaimu Mkurugenzi Tekelezi wa Mradi wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Mazingira (UNEP) na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa UM tangu mwaka 2018.[2].

  1. Tanzania’s Joyce Msuya appointed UN Assistant Secretary-General for Humanitarian Affairs Archived 15 Desemba 2021 at the Wayback Machine., gazeti la Citizen 15-12-2021
  2. Joyce Msuya, tovuti ya UNEP, iliangaliwa Desemba 2021

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy